SOCIAL_NYIRAGONGO
Wa hami wengi wa vita wanao patikana katika kembi mbalimbali kowani Munigi, wana sema kuto kua na vyoo katika eneo hiyo walipo kimbilia. Hawa wana omba ku jengewa misarani yaku tosha kwani wengi kati yao wana ji saidia katika shamba za kandokando punde wanapo shikwa na haza kubwa ama ndogo. Tuli wa sogelea hii tarehe 19 Novemba, kwa furs aya siku kuu ulimwenguni ya misarani.
Audio
Ajouter un commentaire