Info Magazine et Grand Reportage : Vipi Uko na Kule

magazine

Soumis par derick le ven 19/04/2024 - 18:00

Economie/Masisi

Depuis le Mois de Décembre dernier ; les habitants de plusieurs agglomérations du territoire de Masisi communiquent difficilement avec leurs téléphones, faute de réseau. Ceux de Rubaya, dans la chefferie des Bahunde  par exemple, sont obligés de parcourir de longues distances pour prendre les nouvelles de leurs proches qui n’habitent pas la zone. 

magazine_sw

Soumis par derick le ven 19/04/2024 - 17:57

Economie/Masisi

Tokea mwezi wa Disemba ulio pita, 
 Wakajai wa eneo mbalimbali za mtaa wa Masisi wana ugumu waku wasiliana  kwa njia ya simu  na ndguzu zao wanao patikana katika eneo nyingine sababu ya ukosefu wa mtandao. Wale wa Rubaya , katika usultani wa Bahunde kwa mfano wana ji kuta katika shurti yaku tembea mwendo mrefu sana wa mguuu ili ku pata namna yaku pasha habari zao, pia ku chukua habari za ndugu na ma rafiki wao.

magazine_sw

Soumis par derick le jeu 11/04/2024 - 18:33

SECU/GOMA 
Wakazi kadhaa wa Goma wanatoa wito kwa jimùboni na wa mji wa Goma kuzingatia tu kuboresha hali ya usalama ambayo inazidi kuwa mbaya. Wali jieleza siku moja baada ya shambulizi ilio onekana kwenye entrée président , kwenye barabara Goma-SAKE.

magazine_sw

Soumis par derick le lun 01/04/2024 - 18:23

Sécurité/Goma
Kwa namna ambayo haija wai ku shuhudiwa siku zilizo pota, mtuto mkali wa risasi  uli zorotesha uingizi wa wakaaji wengi wa kata Mugunga na Ndoho usiku waku amkia siku ya kanza tarehe 1 April. Ku fwatana  na hali hii, shauri ya vijana ndani ya mtaa wa Goma ya tetea ku zidishwa kwa wapiga doria katika kata hizo ili hawa washike kila mtu anaye tumia silaha kwaku tatiza utulivu wa rahiya.