INVITE_DU_SAMEDI_16_04_2022_SW

Soumis par derick le sam 16/04/2022 - 19:15
 Goma

SOCIAL_GOMA

Katibu mkuu wa muungano  wa mashirika zenye kupiganisha utumwa akuwa mwenye kusisimua zamiri za serkali ya Congo kuhusu kutumikishwa kwa watoto kiyolela ,jambo lenye kubaki bila kusemeka ndani ya jamii .  Janvier MURAIRI asema hivyo katika mupango wa siku kuu ulimwenguni ajili ya kupiganisha utumwa wa watoto tarehe 16 aprili ya kila mwaka.Anataja kwa mufano byashara ya watoto wanaotoka ndani ya jamaa maskini,tabia yenye kusambazwa kulingana na ongezeko la ma centa yenye kupokeya watoto mayatima.Umbali wa hayo,mwanaharakati huyu wa shirika la raiya ataja aina mbali mbali za utumwa wa watoto ndani ya migodi za madini,kunako majengo za uwuwi pia ndani ya jamaa.Janvier MURAIRI azani kua serkali ya Congo inajukumu kubwa kwa kukomesha njama hizo zenye kukumba ma elfu ya watoto kwani hakuna yule anaye jaribu kuyazungumzia.Tumusikilize hapa 

 

Audio

Ajouter un commentaire

HTML restreint

  • Balises HTML autorisées : <a href hreflang> <em> <strong> <cite> <blockquote cite> <code> <ul type> <ol start type> <li> <dl> <dt> <dd> <h2 id> <h3 id> <h4 id> <h5 id> <h6 id>
  • Les lignes et les paragraphes vont à la ligne automatiquement.
  • Les adresses de pages web et les adresses courriel se transforment en liens automatiquement.