SOCIAL_GOMA
Katibu mkuu wa muungano wa mashirika zenye kupiganisha utumwa akuwa mwenye kusisimua zamiri za serkali ya Congo kuhusu kutumikishwa kwa watoto kiyolela ,jambo lenye kubaki bila kusemeka ndani ya jamii . Janvier MURAIRI asema hivyo katika mupango wa siku kuu ulimwenguni ajili ya kupiganisha utumwa wa watoto tarehe 16 aprili ya kila mwaka.Anataja kwa mufano byashara ya watoto wanaotoka ndani ya jamaa maskini,tabia yenye kusambazwa kulingana na ongezeko la ma centa yenye kupokeya watoto mayatima.Umbali wa hayo,mwanaharakati huyu wa shirika la raiya ataja aina mbali mbali za utumwa wa watoto ndani ya migodi za madini,kunako majengo za uwuwi pia ndani ya jamaa.Janvier MURAIRI azani kua serkali ya Congo inajukumu kubwa kwa kukomesha njama hizo zenye kukumba ma elfu ya watoto kwani hakuna yule anaye jaribu kuyazungumzia.Tumusikilize hapa
Ajouter un commentaire