Sécu_Goma.
mwalikwa wetu wa chumba cha uhariri ni Vicar BATUNDI, yeye Kiongozi makamu wa shirika la raiya la mji wa Goma atoa mara tena mwito wake wakuona vyombo vya usalama kuingiza raiya kati ya timu za wapiga doria za usiku.Vicar BATUNDI HANGI asema hivyo kulingana na kupaa munara kwa usalama mudogo ndani ya kata nyingi za mji kumepita majuma machache hivi.Kwa masemi yake hakuna usiku unaopita na hakuna kesi ya wizi unao ripotiwa ndani ya nyumba huku na kule.
Audio
Ajouter un commentaire