SECURITE_RECATION SOCIV RECRU
Prezidenti wa shirika la rahiya la hapa mjini Goma ana tahzarisha ku husu tishio zinazo kumba mji mkuu wa Kivu ya kaskazini. Marrion Ngavho ana zungumzia kuto hudumiwa kwa vijana walio kubali ku ingiak aktika jeshi la taifa, na ambao wana lala, naku shinda barabarani kandokando na ofisi ya kata Les Volcans. Kada huyu wa shirika la rahiya ana hofia vijana hawa wawe na ukali ikiwa punde wanapo omba msaada huku na kule wa kutane na mkaaji asiye kua na chochote chaku wa patia. Marrion Ngavho ana alika serkali ya Congo ku chugua garama yao, pia ku harikisha operesheni yaku wa peleka katika kituo vhao cha mafunzo
Audio
Ajouter un commentaire