BENI MAMBANGO samedi 9 avril 2022
Raiya,askari na wanapolisi walisafisha shamba la wafu la MAMBANGO lenye kupatikana ndani ya kempi kuu la SHIKO siku ya sita iliyopita.Ni mahali hapo ndipo kwa lazwa zaidi ya ma mi aya askari waliofariki kunako shamba la mapambano maeneo za Beni.Shuguli hiyo iliandaliwa na shirika Pole Institute katika huwo mpango wa muradi wake dialogue pour la paix à Beni ilikua na lengo ya kusikilizisha wahuzuriyaji ni kwa kiwango gani aksari jeshi wajitoleya kwa kurejesha amani pa Beni.Siku Provinces aeleza mengi katika ripoti hiyi
Audio
Ajouter un commentaire