POLITIQUE_ELECTIONS SENATORIALES
Les élections sénatoriales seront organiser sur l’étendue du territoire nationale y compris dans les provinces sous état de siège. Cette précision et de la commission électorale nationale indépendante dans sa note circulaire du 20 mars 2024 qui enjoint aux secrétaires exécutifs du Nord-Kivu et de Maindombe d’ouvrir en toute urgence les bureaux de traitement et de réception des candidatures. Une décision qui consterne certains analystes politique au Nord Kivu
Société_Butembo
"Kuorodhesha kwa malipo magari zenye viyo vya rangi nyeusi sio hakikisho la kurejeshwa kwa usalama hata kidogo." Haya ni maoni yaliyotolewa na vuguvugu la kiraia Lucha na vikundi vingine vya vijana huko Butembo. Kupitia kibaruwa walicho weka hadharani katika juma hii, wanaharakati hao wa shirika la raia wanashutumu kupanda kwa bei ya kuorodhesha gari ambayo iliongezeka kutoka dola ishirini hadi dolla makumi saba za Kimarekani. Kulingana nao hii ni wizi mtupu kwa sababu mabandiya wengi wanatembeya kwa pikipiki wanapo endesha operesheni zao.