SOCIAL_GOMA
Wakaaji wamoja wa kata zinazo patikana magharibi mwa mji wa Goma wana sema wanatatizika kupata nafisi yakuzikiya wafu. Mwanamke mmoja anashuhudia kwamba alimzika mtoto wake kwa siri kwenye jalala. Kulingana naye, hakuna kada wa ngazi za chini aliye mjiya kwa msaada ndio maana alichukua uamuzi huu. Anashuhudia kwamba yeye si mtu wa kwanza kufanya hivi.
Kiongozi wa kata Lac Vert analaani kitendo hiki na kuhamakiya tabia hii. DEDESI MITIMA anasema anashangaa kusikia ya kwamba vitendo hivyo vinafanyika katika eneo lake. Anajulisha kuwa huduma ya protection civile inashurulika na mazishi ya maiti ambao familia zao ni masikini. Huyu, anahimiza wakaaji kuonyesha upendo kwa familia zilizo katika shida ili wazike na heshima wapendwa wao kuliko.
Audio
Ajouter un commentaire