Sécurité_Goma
Wahami wa vita wanao baki ndani ya kambi ya Lushagala wali uwa na kuchoma mtu mmoja mwenye kumiliki silaha siku ya pili tarehe tano machi mwaka huu. Walimushtaki kuuwa mkimbizi mwenzao siku ya kwanza katika kambi hii inayo jigawa kati ya kata Mugunga na Lac Vert magharibi mwa mji wa Goma
Audio
Ajouter un commentaire