Sécurité/Goma
Kwa namna ambayo haija wai ku shuhudiwa siku zilizo pota, mtuto mkali wa risasi uli zorotesha uingizi wa wakaaji wengi wa kata Mugunga na Ndoho usiku waku amkia siku ya kanza tarehe 1 April. Ku fwatana na hali hii, shauri ya vijana ndani ya mtaa wa Goma ya tetea ku zidishwa kwa wapiga doria katika kata hizo ili hawa washike kila mtu anaye tumia silaha kwaku tatiza utulivu wa rahiya.
Audio
Ajouter un commentaire