Economie/Masisi
Tokea mwezi wa Disemba ulio pita,
Wakajai wa eneo mbalimbali za mtaa wa Masisi wana ugumu waku wasiliana kwa njia ya simu na ndguzu zao wanao patikana katika eneo nyingine sababu ya ukosefu wa mtandao. Wale wa Rubaya , katika usultani wa Bahunde kwa mfano wana ji kuta katika shurti yaku tembea mwendo mrefu sana wa mguuu ili ku pata namna yaku pasha habari zao, pia ku chukua habari za ndugu na ma rafiki wao.
Audio
Ajouter un commentaire